VIDEO:KIPA ALIYEIOKOA PENALTI YA BOCCO ATAJA KILICHOMBEBA
JAMES Ssetupa kipa namba moja wa Biashara United amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kumpa nguvu ya kufanya vizuri kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara ambapo aliweza kuikoa penalti ya nahodha wa Simba, John Bocco na kuwafanya wagawane pointi mojamoja.
Penalt ile ya Boko hata msemaji wa simba kamwaga anadaka. Kama Boko alikuwa hajiamini kupiga ile penalt kwanini aliamua kwenda kupiga penalt? Kuna penalt kipa akiadaka unasema ndio pale keeper kacheza lakini penalt dhaifu ya Boko sioni udhani wa kipa kuisifia kuidaka. Penalt haina ufundi lakini kwa ile ya Boko hovyo kabisa.
ReplyDelete