February 12, 2015


Kocha Goran Kopunovic amesema kiungo wake Saidi Ndemla atakuwa fiti kabla ya kuivaa Polisi Moro.


Simba ina kibarua Jumapili dhidi ya timu hiyo ngumu kutoka mkoani Morogoro.

Kopunovic amesema kwa kuwa Ndemla ameanza mazoezi kwa zaidi ya siku tatu sasa, anaamini atakuwa fiti.

“Atakuwa fiti hasa kama hakutakuwa na tatizo hapa katikati. Kurejea kwake kunafanya kwue na upana wa uchaguzi.


“Timu inapokuwa na majeruhi wengi ni tatizo kwa kocha, uchaguzi wa nani umtumie au fomesheni ipi uchague linakuwa tatizo,” alisema Kopunovic.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic