Jamie Vardy ndiye mbabe
katika kasi ya upachikaji mabao katika Ligi Kuu England kwa sasa.
Pia avunja rekodi ya
kufunga mabao katika mechi 11 mfululizo za ligi hiyo.
Pamoja na kuwa gumzo kiuchezaji,
suala la mguu wake kuonekana uko fiti kweli, au msuli hasa ndiyo gumzo.
Mshambuliaji huyo wa
kikosi cha Leicester inayofundishwa na Muitaliano, Claudio Ranieri kwa sasa
kimekuwa gumzo kutokana na mwenendo wake katika Ligi Kuu England.
0 COMMENTS:
Post a Comment