Kocha
Meja Mstaafu, Abdul Mingange sasa ametangazwa rasmi kubwa bosi wa Mbeya City.
Mingange
alikuwa akishikilia nafasi ya Juma Mwambusi ambaye aliamua kuondoka na kujiunga
na Yanga akiwa katika nafasi ya kocha msaidizi.
Lakini
leo Mbeya City imemtangaza Mingange kuwa kocha mkuu kamili ingawa haikuweka
wazi mkataba huo ni wa muda gani.
0 COMMENTS:
Post a Comment