July 6, 2016


Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius amefungwa jela miaka sita na atarejea uraiani mwaka 2019.

Pistorius amefungwa baada ya kupatikana tena na hatia ya kuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013.

Jaji Thokozile Masipa aliyemhukumu, amesema mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 29 amepewa nafasi ya kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic