July 19, 2017




Simba imemsajili beki wa kiraka, Erasto Nyoni kwa mkataba wa miaka miwili.

Nyoni amejiunga na Simba akitokea Azam FC ikiwa ni siku chache baada ya kufanya vizuri katika michuano ya Cosafa.

Kitu kizuri kwa Nyoni ni uwezo wake wa kucheza namba zote nne za ulinzi.

Pia anaweza kucheza nafasi ya kiungo mkabaji kwa ufasaha hali inayomfanya kuwa na nafasi kubwa ya kucheza.

Nyoni alirejea nchini na kujiunga na Azam FC akitokea Vital'O ya Burundi.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic