Simba imemsajili kipa Said Mohammed kutoka Mtibwa Sugar.
Said maarufu kama Nduda, amesajili Simba kwa mkataba wa miaka miwili.
Katika michuano ya Cosafa iliyoisha hivi karibuni na Taifa Stars kushika nafasi ya tatu, Nduda aliibuka kipa bora wa michuano hiyo ingawa alidaka mchezo mmoja tu wa kuwania mshindi wa tatu.
Katika michuano ya Cosafa iliyoisha hivi karibuni na Taifa Stars kushika nafasi ya tatu, Nduda aliibuka kipa bora wa michuano hiyo ingawa alidaka mchezo mmoja tu wa kuwania mshindi wa tatu.
0 COMMENTS:
Post a Comment