August 6, 2017






Haruna Niyonzima anaweza kuanza mazoezi ya kuitumikia Simba leo rasmi.

Niyonzima ambaye anaelezwa kutua tayari nchini usiku wa kuamkia leo, anaweza kuanza mazoezi na Simba leo jioni.

Simba itafanya mazoezi yake nchini kwa mara ya kwanza leo baada ya kurejea nchini Ikitokea Afrika Kusini ilipoweka kambi kujiandaa na msimu mpya.

Niyonzima alikuwa kwao Rwanda, hakupata nafasi ya kufanya mazoezi na kikosi hicho cha Simba ambacho kimemsajili baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic