Picha ya mshambuliaji wa AFC
Wimbledon, Adebayo Akinfenwa amepiga picha akiwa na kifaru cha kijeshi na kuzua
gumzo kubwa.
Mshambuliaji huyo
anajulikana kutokana na umbo kubwa amekuwa gumzo na anaitwa kwa jina la Beast.
Wengi wamekuwa wakihoji alifikaje jeshini hadi kupiga picha na kifaru hicho cha kivita lakini mwenye ameonekana kutojali maswali hayo na kukaa kimya.
0 COMMENTS:
Post a Comment