May 22, 2017


Madrid wameendelea kusherekea ubingwa wao wa La Liga na safari hii wakiungana tena na mashabiki wao pamoja na Meya wa jiji la Madrid, Manuela Carmena.

Sherehe hizo zimefanyika katika ya jiji la Madrid wachezaji wa kikosi hicho wakiwa wanaongozwa na Cristiano Ronaldo na nahodha Sergio Ramos walikuwa wamevaa sare ya suti kwa pamoja.










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic