David Ospina nusura amuue Pedro walipogongana wakati wakiwania mpira katika mechi maalum ya kirafiki mjini Beijing, China.
Chelsea imeshinda mechi hiyo kwa mabao 3-0 lakini Pedro alilazimika kutibiwa kwa muda wa zaidi ya dakika mbili kabla ya kutolewa nje.
0 COMMENTS:
Post a Comment