Kampeni ya Nani Mtani Jembe imeendelea kupasua anga
na safari hii mambo yalikuwa katika mji wa Sengerema na promosheni ya nguvu
ilifanyika.
Lakini mambo yote yakamalizikia katika baa ya Mwani
iliyoko mjini hapo na mashabiki wa Yanga na Simba wakaonyeshana kazi.
Kupitia Bia ya Kilimanjaro ambayo ni wadhamini wa
Yanga na Simba, mambo yalikuwa si mchezo kama picha zinavyoonyeesha.
0 COMMENTS:
Post a Comment