Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Kenya,
Harambee Stars juzi aliibuka katika mazoezi ya timu ya Gor Mahia.
Gor Mahia ambao ni mabingwa na
anachezea Mtanzania, Ivo Mapunda walikuwa katika mazoezi yao kwenye Uwanja wa
City.
Mara ghafla, Amrouch raia wa Ubelgiji
mwenye ya Algeria aliibuka na kukaa kimya jukwaani.
Amrouche ambaye ataiongoza Kenya kwenye
michuano ya Chalenji alikuwa akiandika vitu kadhaa kadri wachezaji hao
wanavyozungumza.
GOR WAKIMALIZA MAZOEZI |
Baada ya kumaliza mazoezi alishuka na
kuzungumza nao akiwemo kocha wao, Bobby Williamson ambaye alielezwa anakwenda
Simba, kabla ya mwenye kukanusha.
0 COMMENTS:
Post a Comment