Kikosi cha timu ya wanawake ya Tanzania,
Tanzanite kimeinyonyoa Msumbiji kwa mabao 5-1 nyumbani kwao Maputo.
Katika mechi hiyo kuwania kucheza Kombe
la Dunia, Tanzanite walitawala mwanzo hadi mwisho na wangeweza kushinda mabao
mengi zaidi.
Katika mechi ya awali jijini Dar,
Wadada hao wa Kitanzania walishinda kwa
mabao 10-0.
Sasa wanasubiri mshindi kati ya Afrika
Kusini na Botswana na wakishinda wamefuzu kucheza Kombe la Dunia.
0 COMMENTS:
Post a Comment