MTAWALA |
Katibu Mkuu wa zamani wa Yanga,
Celestine Mwesigwa ametangazwa kuchukua nafasi ya Katibu Mkuu wa Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF), nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Angetile Osiah.
Wakati Mwesigwa anatangazwa kuchukua
nafasi hiyo, Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala amekabidhiwa cheo cha
Mkurugenzi wa Vyama Wanachama na Masuala ya Kisheria ya TFF.
MWESIGWA |
Uteuzi huoumetangazwa leo na Rais wa
TFF, Jamal Malinzi ambaye amesema wataanza kazi mara moja Januari Mosi,
mwakani.
0 COMMENTS:
Post a Comment