December 25, 2013



 
KISAKA (KULIA) WAKATI AKIWA KAZINI SIMBA MSIMU ULIOPITA, WANAOMFUATIA NI NICO NYAGAWA, JULIO NA ABDALLAH KIBADENI
Kipa wa zamani na kocha wa zamani wa makipa wa Simba, James Kisaka amefariki dunia.

 
..WAKATI AKIWA MGONJWA NYUMBANI KWAKE MSASANI.
Kisaka amefariki dunia leo alfajiri na taarifa zinasema mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar.
Kisaka alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza upande mmoja kwa zaidi ya miezi miwili.
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic