August 9, 2015

BOSSOU AKIWA JUKWAANI LEO WAKATI YANGA IKIKIPIGA NA KIMONDO

Kocha Hans van der Pluijm amempanga Mzimbabwe, Thabani Kamusoko katika kikosi cha kwanza kinachoanza katika mechi ya kirafiki dhidi ya Kimondo ya Mbozi.

Mholanzi huyo, akamuweka jukwaani beki mpya wa timu hiyo Vicent Bossou raia wa Togo ili aone Yanga inavyocheza kwenye Uwanja wa CCM Mbozi.

Yanga inacheza mechi hiyo ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu ya Ligi Kuu Bara. Kamukoso kutoka FC Platnum ya Zimbabwe, naye atakuwa anaichezea Yanga kwa mara ya kwanza.

KIKOSI CHA LEO
Dida, Abdul, Joshua, Zahir, Pato, Kamusokou, Msuva, Telela, Busungu, Ngoma na Kaseke.

BOSSOU



KAMUSOKOU

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic