August 9, 2015


Mtanzania Emily Mgeta anayekipiga katika timu ya daraja la tano nchini Ujerumani sasa ameamua kujifua zaidi kwa staili ya aina yake.


Mgeta aliyewahi kukipiga Simba ambaye ni beki tegemeo wa Neckarsulmer, juzi alifanya mazoezi na timu ya Rugby katika eneo analoishi.

“Kweli, niliamua kwenda kwenye rugby kwa ajili ya kujiweka fiti. Siku hiyo hatukuwa na mazoezi, sasa nikaona hakuna sababu ya kukaa tu.

“Nikaenda zangu pale na kuomba nafasi ya mazoezi, kwa kweli nilijifua vizuri na kupambana na wale jamaa unatakiwa kuwa imara kweli,” alisema Mgeta.

 
AKIWA KAZINI NA KIKOSI CHAKE.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic