VIDEO: BASI LA YANGA JIPYA CHOO MPAKA NDANI BASI jipya la Yanga lina uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira yoyote huku likiwa na jumla ya viti 50.
Wanawapoteza wasikumbuke ahadi walitoa viongozi ya kuchukua ubingwa ligi kuu... Timu yenye mashabiki limbukeni duniani yanga
ReplyDeleteBinadamu mwenye kinyongo huwa hajifichi,lolote jema la mwenzake kwake huwa ni kero.
DeleteBumbuli ana jambo letu, tusubiri
ReplyDeleteMyama anathamini na kusherehekeakombela ubingwa na wala sio basi ambacho ni kitu timu karibu zote zinamiliki mabasi
ReplyDeleteAcha wivu
DeleteYani wivu kwa sababu bas lina choo ndani au? Ubingwa ndo mpango mzima acha kujisahaulisha
DeleteUbingwa mechi 10 mkononi tena unbeaten, hata hvyo ligi haijaisha kwenye soka lolote laweza kutokea Utopolo msikate tamaa
ReplyDeleteUtopolo wanawajulia Sana watu wao Yani hapo washawasahaulisha kuhusu ubingwa
ReplyDeleteNdugu Mwandishi sijui utaweka wapi sura yako,siku ya kuliona ukikuta ni kama EICHER au TATA la mbagala.
ReplyDelete