PLUIJM AKIWA NA MKEWE PAMOJA NA MTOTO WAO WA KIKE AMBAYE NI WA PILI KUZALIWA. PLUIJM NA MKEWE WAMEJAALIWA WATOTO WAWILI, WA KIUME NA WA KIKE. |
Mkewe Pluijm raia wa Ghana yuko nchini na Pluijm atakuwa naye pamoja kusherekea siku hiyo muhimu.
"Hatukufanya vziuri tulivyotaka, halikuwa jambo zuri kwetu lakini nitaungana na mke wangu kusherekea siku yake muhimu sana," alisema Pluijm.
Ingawa hakusema ni wapi sherehe hiyo itafanyika, mkewe Pluijm yuko jijini Dar es Salaam.
0 COMMENTS:
Post a Comment