Wakongwe
Simba wameshindwa kuonyesha cheche baada ya kulala kwa mabao 2-0 mjini Mbeya.
Wenyeji
Mbeya City wanaovaa jezi za rangi za zambarau ndiyo waliowafunga Simba bao hizo
mbili na kukatiza ndoto yao ya kuchukua pointi zote 15 za mechi zao tano za
mwisho.
Wakati
Simba “wamepotea” njia Mbeya, Azam FC wameng’ara kwenye Uwanja wa Azam Complex
jijini Dar.
Azam
FC wamewafunga Kagera Sugar kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali kwenye uwanja huo
wanaoumiliki.
0 COMMENTS:
Post a Comment