August 2, 2015

....AKIWA NA FERGUSON.
Nahodha wa Man United, Wayne Rooney amerejea na kuichezea timu iliyomkuza kisoka ya Everton katika mechi maalum ya kumuaga gwiji wa klabu hiyo Duncan Ferguson.

Ferguson ndiye shujaa wa Rooney katika mchezo wa soka tokea akiwa mtoto na alitaka kuwa kama mchezaji huyo mkongwe.


Pamoja na kuichezea akiingia kuchukua nafasi ya Tom Cleverley, Rooney hakuweza kuiokoa Everton kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Vilarreal ya Hispania.


Everton: Howard 6, Coleman 6, Stones 6.5 (Browning, 72, 6.5), Jagielka 6, Baines 6.5, Osman 6.5, McCarthy 6 (McAleny, 54), Cleverley 6 (Rooney, 73, 7), Barry 6.5, Mirallas 6 (Naismith 39, 6 (Ferguson, 84, 7.5) Kone 5.5 (Barkley, 46, 6)
Subs not used: Joel, Oviedo, Galloway, Grant, Ledson, Walsh
Scorer: Browning 85
Villarreal: Areola 6.5 (Barbosa, 46, 6) Mario 6,5, Pina 6.5 (Trigueros, 66), Pantic 6 (Bailly, 46, 6.5), Castillejo 6.5, Gerard 7 (Jokic, 80. 6) Ruiz 6.5 (Iniguez, 80, 6) Costa 6.5 (Alejo, 66) Leo Baptistao 7 (Pereira, 66, 6) Bruno 7 (Espinosa, 66, 6), Nahuel 7
Subs not used: Acosta, Aleix, Rukavina.
Scorers: Gerard 38, Nahuel 61

Attendance: 34,718






FERGUSON

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic