April 4, 2016

Watoto mapacha wa kipa mkongwe nchini, Juma Kaseja jana walifikisha siku 40 na rasmi kuanza kuonekana hadharani. Katika dua iliyosomwa nyumbani kwa Kaseja Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, wadau mbalimbali waliwaona "live" watoto hao kwa mara ya kwanza.

Mkewe Kaseja, Nasra Nassor maarufu kama "Naa" au  "Kikono" naye alionekana ni mwenye furaha kuu hiyo jana huku kukiwa na wageni wengi waliojitokeza kuwaunga mkono.
SALEHJEMBE INAWAPONGEZA KASEJA NA NASRA NA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAKUZIE MAPACHA HAO.




Malkia wa Kaseja

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic