December 18, 2014


Viatu vya rangi nyeupe vinaonekana kuchukua soko na kuvipita vya rangi nyeusi.


Tathmini iliyofanywa kwenye Ligi kuu England, inaonyesha viatu vyeupe sasa vinavaliwa kwa asilimia 48.
Kawaida viatu vyeusi ndiyo utamaduni katika soka, lakini vimezidiwa na vyeupe.

White boots were once an indication of a special Katika mechi za Premier League zilizochezwa kuanzia Desemba 13 hadi 15, imeonekana wachezaji walivaa viatu vya rangi nyeupe kwa wiki kuliko nyeusi.

Ilionekana angalau asilimia 15 waliweza kuvaa viatu vye ye rangi nyeusi inayoonekana ya asili.

Pia rangi ya kijani ikapiga hatua kwa kasi na kuonekana kuipita nyeusi kwa kufikisha asilimia 16.4.

Hapo zamani, viatu vilivyokuwa vikivaliwa ni rangi nyeusi tu, taratibu ikaanza kuchanganywa na nyeupe, halafu nyekundu na baadaye njano labla ya rangi nyingine kuingia.

Angalau Hull City imeonekana kuwa na wachezaji wengi wanaotumia viatu vyeusi ukilinganisha na timu kama Arsenal, Burnley, Leicester, Sunderland, Liverpool, Chelsea na nyingine.

Mshambuliaji nyota wa Chelsea, mabao yake aliyofunga kwa miguu, ametumia viatu vya rangi ya bluu na pinki kwa kuwa kwa sasa kampuni ya vifaa ya Puma, imetoa viatu vya rangi hiyo vinavyovaliwa wakati mmoja.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic