January 21, 2015


West Ham nayo imeamua kujiimarisha ila sasa ni zamu ya uwanja wa kisasa ambao utagharimu zaidi ya pauni 429, utajulikana kama Uwanja wa Olimpiki.


Uwanja huo wa kisasa tayari umeanza kujengwa na mmiliki wa klabu hiyo amesisitiza watakapoanza kuutumia misimu miwili ijayo, ndani ya misimu mitano anataka wawe wamechukua ubingwa.



Uongozi wa West Ham unaamini baada ya uwanja, utaleta changamoto mpya katika soka la kimataifa na kuipa klabu changamoto ya kutaka kufanya vizuri ikiwa ni pamoja na kupata faida.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic