March 22, 2015


 Siku chache kabla ya kuivaa Liverpool na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Anfield, nahodha wa Man United, Wayne Rooney alionyesha  jeuri ya fedha.


 
Rooney aliwashitukiza wachezaji wa Man United baada ya kuanza kutua mazoezini akiwa na gari jipya la kisasa zaidi la BMW i8.
Mchuma huo una thamani ya pauni 105,000 (zaidi ya Sh milioni 273).
Gari hilo ambalo ni toleo jipya lilikuwa ni kivutio zaidi kila sehemu kuanzia mazoezini hadi alipopita.
 
Rooney leo aliingoza Man United kuitwanga Liverpool kwa mabao 2-1 ikiwa nyumbani kwao.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic