England imetolewa kwenye
nusu fainali ya Kombe la Dunia la wanawake baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya
Japan.
Sasa Japan itacheza fainali
ya Kombe la Dunia wikiendi hii dhidi ya Marekani.
Ndioto za England
zilikuwa ni kucheza fainali, lakini imeshindikana baada ya beki wake wa kati Laura
Bassett kujifunza katika dakika za nyongeza.
Baada ya mechi hiyo,
Bassett alishindwa kujizuia na kuangua kilio muda wote.
Hali iliyosababisha
wachezaji wengine wa England nao kuangua kilio wakijua wanakwenda kucheza mechi
ya kutafuta mshindi wa tatu.
0 COMMENTS:
Post a Comment