Mabao ya Real Madrid yalitiwa kimiani na Asensio (11' 59'), Sergio Ramos (50'), Cristiano Ronaldo (65') na Kareem Benzema (92').
Real Betis walijipatia mabao yao kupitia Mandi (33'), Nacho (37') na Sergio Leon (85').
Tano bora ya msimamo wa La Liga ulivyo hivi sasa |
0 COMMENTS:
Post a Comment