August 10, 2018


Na George Mganga

Kikosi cha Yanga kimeonesha dhamira kubwa ya kuwaangamiza Waarabu, USM Alger katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa Agosti 19 jijini Dar es Salaam.

Yanga inaendelea kujifua na mazoezi kwa ajili ya mechi hiyo ikiwa pia ni sehemu ya maandalizi kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara mjini Morogoro ambapo kikosi kimewea kambi ya wiki mbili.

Tazama picha zaidi za mazoezi hayo hapa










1 COMMENTS:

  1. HIZO PICHA UNAIBA KWENYE UKURASA WA YANGA WA INSTAGRAM, WEZI WAKUBWA NYIE

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic