Haruna Moshi ‘Boban’ sasa ni mali ya Yanga na kinachosubiriwa ni kuanza kazi tu na wakali hao wa Jangwani.
Baada ya majadiliano ya muda mrefu, Boban kutoka African Lyon na Yanga wamekubaliana kuingia mkataba wa miezi sita.
Sasa ataanza kazi mara moja ili kuongeza nguvu katika kikosi cha Yanga ambacho kinaongoza Ligi Kuu Bara.
Boban amewahi kuichezea Simba kwa mafanikio makubwa. Alijiunga nayo mwishoni mwaka mwaka 2003 akitokea Coastal Union ambayo baadaye alirejea tena na kuichezea.
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
Kwa wasomaji wa Blog yetu pendwa ya michezo hakikisha una nifollow INSTAGRAM kwa kubonyeza link iliyopo hapo Juu tutakudodoshea Upates zote za michezo kuanzia sasa.
Asante
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
Kwa wasomaji wa Blog yetu pendwa ya michezo hakikisha una nifollow INSTAGRAM kwa kubonyeza link iliyopo hapo Juu tutakudodoshea Upates zote za michezo kuanzia sasa.
Asante
BONYEZA HAPA ===> SALEH JEMBE SPORTS
Hapa Kocha Zahera amechemka kindoki na Boban
ReplyDeleteMie nauliza tu. Boban na Ngasa nani zaidi?
ReplyDelete