RAIS MAGUFULI KUKUTANA NA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO
Rais atakutana na Wanamichezo hao leo saa nne asubuhi Ikulu jijini Dar ili kuwapongeza na kula nao chakula cha mchana
Pia katika msafara huo atakutana na Viongozi wa TFF na Kamati ya uhamasishaji
Hatua hii ni baada ya Taifa Stars kufuzu kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika(AFCON) hapo jana ikiwa ni baada ya miaka 39 kwa kuinyuka Uganda goli 3-0
Aidha, Bondia Hassan Mwakinyo akiwa nchini Kenya juzi usiku alifanikiwa kutwanga kwa KO bondia kutoka Argentina, Sergio Gonzalez.
0 COMMENTS:
Post a Comment