Kweli waambieni hao wanaosema eti Simba inabebwa!!itabebwaje bao nane!Watazidi kuumia tu!Waache kulalamika hebu wajifunze toka UEFA Cup namana Liverpool na Tottenham walivyoingia fainali..Kwanza usikate tamaa na cheza kwa bidii yako yoote! Mara unasikiwa wapatieni Simba kombe lao...Viporo ilikuwa ni kuwabeba Simba..Je sio kosa lako wewe kutoshinda mechi zako za ugenini...Uliamua kukubali kutiwa goli na kula sare tu!
Kweli waambieni hao wanaosema eti Simba inabebwa!!itabebwaje bao nane!Watazidi kuumia tu!Waache kulalamika hebu wajifunze toka UEFA Cup namana Liverpool na Tottenham walivyoingia fainali..Kwanza usikate tamaa na cheza kwa bidii yako yoote! Mara unasikiwa wapatieni Simba kombe lao...Viporo ilikuwa ni kuwabeba Simba..Je sio kosa lako wewe kutoshinda mechi zako za ugenini...Uliamua kukubali kutiwa goli na kula sare tu!
ReplyDelete