DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walistahili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa ulikuwa ni mpango wao tangu awali.
Ushindi wa jana mbele ya Coastal Union wa mabao 2-0 uliwafanya wafikishe jumla ya pointi 79 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote kwa sasa hivyo walitangazwa kuwa mabingwa wa msimu wa 2020/21 wakiwa na mechi mbili mkononi.
Wapewe tu mbona ni kawaida,unalipa kodi wewe ila matumbo makubwa na vitambi wanatoka wengine.acha wenye nchi wale mema ya nchi yao huku wakikurupuka kuingia mkataba na azam,ngoja uone wenzao kama wataingia kichwakichwa.
Ubingwa huo atapewa Utopolo maana Ile kesi wameshinda
ReplyDeleteBumbuli ana jambo letu
ReplyDeleteWapewe tu mbona ni kawaida,unalipa kodi wewe ila matumbo makubwa na vitambi wanatoka wengine.acha wenye nchi wale mema ya nchi yao huku wakikurupuka kuingia mkataba na azam,ngoja uone wenzao kama wataingia kichwakichwa.
ReplyDelete