July 4, 2019



FRANK Lampard amesaini kandarasi ya miaka mitatu kuwa meneja mpya wa klabu ya Chelsea akichukua mikoba ya Maurizio Sarri aliyejiunga na Juventus.

Lampard mwenye umri wa miaka 41 amerejea ndani ya uwanja wa Stamford Bridge baada ya kuondoka miaka mitano iliyopita alipokuwa mchezaji.

Chelsea wamempa timu Lampard kutokana na kuaminiwa na bosi wa timu hiyo Roman Abramovich ambaye alikuwa akimkubali tangu zama akiwa mchezaji. 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic