KESHO Oktoba 10 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Benin baada ya mchezo wa kwanza kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa.
Tayari kikosi cha Stars kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kim Poulsen kipo nchini Benin na hali huko kwa sasa ipo namna hii.
Katika mpira kunakuwa na makosa yakirekebishwa yanakuwa ni faida,patamu hapo.Sasa kwa ushauri kama ushauri utafika basi kwa mchezo wa kesho Mbwana Samata anatakiwa kuanzia benchi na nafasi yake ichukuliwe na Kibu Denisi. Ni ushauri wa kifundi kutoka kwenye karama. Tanzania ama Taifa Stars tunashinda Kesho na la kushangaza nimewaona watanzania wakiwa kwenye pirika pirika za kwenda katari InshaAllah. Samata ana matatizo si ya kimpira bali anaumwa na si lazima awe anaumwa maradhi ya mwili hata kukosa bahati ni maradhi pia na chochote anachosumbuliwa Samata basi lazima atabiwe Tanzania hasa Zanzibar ili awe timamu. Matatizo ya samata na Cris Mugalu wa Simba yanafanana ila ya Mbwana inaonekana yapo serious zaidi. Mugalu nae anatakiwa kutibiwa vile vile ili awe sawa la sivyo ataendelea kutepeta kwenye kufunga magoli. Sijui kwanini lakini kuna mambo ya kijinga au ya kihusda watu wanafikia kuwawekea Mazingira magumu wenzao amini usiamini.
Katika mpira kunakuwa na makosa yakirekebishwa yanakuwa ni faida,patamu hapo.Sasa kwa ushauri kama ushauri utafika basi kwa mchezo wa kesho Mbwana Samata anatakiwa kuanzia benchi na nafasi yake ichukuliwe na Kibu Denisi. Ni ushauri wa kifundi kutoka kwenye karama. Tanzania ama Taifa Stars tunashinda Kesho na la kushangaza nimewaona watanzania wakiwa kwenye pirika pirika za kwenda katari InshaAllah.
ReplyDeleteSamata ana matatizo si ya kimpira bali anaumwa na si lazima awe anaumwa maradhi ya mwili hata kukosa bahati ni maradhi pia na chochote anachosumbuliwa Samata basi lazima atabiwe Tanzania hasa Zanzibar ili awe timamu. Matatizo ya samata na Cris Mugalu wa Simba yanafanana ila ya Mbwana inaonekana yapo serious zaidi. Mugalu nae anatakiwa kutibiwa vile vile ili awe sawa la sivyo ataendelea kutepeta kwenye kufunga magoli. Sijui kwanini lakini kuna mambo ya kijinga au ya kihusda watu wanafikia kuwawekea Mazingira magumu wenzao amini usiamini.