September 16, 2014

Kocha Arsene Wenger, jana alitumia muda wake mwingi kuzungumzia masuala ya ufundi huku akikumbushia Arsenal inapokutana na timu za Kijerumani.

Wenger amewaeleza vijana wake kuhusiana na nini cha kufanya kiufundi akiamini Borussia Dortmund si timu ya lelemama.
Arsenal iko ugenini kuwavaa Dortmund katika mechi ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ngumu kutokana na ugumu wa wakali hao.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic