Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amewaondoa presha Simba na kuwaambia
maandalizi waliyopata ni bomb asana.
Phiri ameiambia SALEHJEMBE kuwa mechi ya kesho ya ufunguzi wa Ligi Kuu Bara dhidi ya
Coastal itakuwa ngumu, lakini hawatakubali kupoteza.
“Itakuwa mechi ngumu lakini kwa maandalizi tuliyopata,
hatutakubali kupoteza.
“Tutajitahidi kadiri ya uwezo wetu, tunataka kuanza na kushinda
iwe sehemu ya mwanzo mzuri kwetu,” alisema Phiri raia wa Zambia.
0 COMMENTS:
Post a Comment