April 28, 2015

Mabingwa wa Asia wa soka la ufukweni, Oman wanaoongozwa na Talib Hilal, beki wa zamani wa Simba, wamepangwa kundi B wakiwa na timu ngumu ya Uswiss, Italia na Costa Rica.

Katika droo ya Kombe la Dunia iliyofanyika leo, kikosi hicho cha Talib anayesaidiana na kipa wa zamani wa Pamba ya Mwanza, Yusuf Abeid kitakuwa na kazi kubwa kuhakikisha inatoka katika kundi hilo.

Kombe la Dunia la ufukweni litashirikisha timu 16 na litaanza Kulai 9 hadi 19 katika eneo la Praia da Baia nchini Ureno.

MAKUNDI

Kundi A
Ureno
Japan
Argentina
Senegal

Kundi  B
Switzerland
Oman
Italia
Costa Rica

Kundi  C
Brazil
Mexico
Spain
Iran

Kundi  D
Russia
Paraguay
Tahiti
Madagascar


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic