April 28, 2015

 Mashabiki wa Liverpool wameandamana kupinga bei ya tiketi kuwa ni juu sana.

Mashabiki hao walifanya hivyo kabla ya kusafiri kwenda kuiunga mkono timu yao dhidi ya Hull City katika mechi ya Ligi Kuu England, leo.

Mashabiki hao walipinga bei ya tiketi katika Uwanja wa KC kufikia hadi pauni 48.

Walikuwa wakipinga kwamba bei imekuwa hadi pauni 16, lakini kumekuwa na ongezeko la ghafla ambalo wanaamini si sahihi.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic