May 25, 2015

Kocha Carlo Ancelotti wa Real Madrid amesema kama uongozi wa timu hiy utamtimua, basi kitu cha kwanza atakachofanywa ni kwenda kufanyiwa upasuaji wa mgongo.


Ancelotti amesema akifanyiwa upasuaji huo atalazimika kupumzika kwa mwaka mzima ili kuhakikisha anapona kabisa.

Bado kumekuwa hakuna uhakika kama Muitaliano huyo atabaki na Madrid baada ya kushindwa kubeba hata kombe moja msimu huu.


Taarifa zimeeleza amekuwa na mpango wa kurejea AC Milan kama Madrid watamtupia virago vyake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic