July 7, 2015

Barcelona imezipiga bao Chelsea na Atletico Madrid na kumsainisha kiungo Arda Turan.

Barcelona imempata Turan kwa pauni milioni 29 ingawa inaanza kulipa pauni milioni 24.

Pauni milioni tano iliyobaki italipwa baadaye na imempa miaka mitano.

Kiungo huyo Mturuki atalazimika kusubiri hadi Januari, mwakani ili kuichezea Barcelona kutokana na adhabu ya usajili ambayo Barcelona walikuwa wakiitumikia.
  for £29million (€41million). 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic