October 12, 2015

Mambo sasa yanaonekana si mazuri tena kwa ule mfumo wa 4-4-2 ambao amekuwa akiuamini sana Kocha Diego Simeone.
Amekuwa akipoteza mechi mfululizo, jambo ambalo tayari limezua mjadala mkubwa.

Wadau sasa wanamshauri Simeone kutumia mfumo wa 4-3-3 ambao unaweza kubadilisha mambo.

Mara kadhaa amekuwa akishauriwa katika hilo, lakini raia huyo wa Argentina amekuwa akisisitiza kutumia 4-4-2.


Lakini kupoteza mechi mfululizo, kupotea kwa ushindani kutoka katika kikosi chake kunaonekana kumlazimisha kubadili mfumo huo na kuhamia 4-3-3 ambayo inakuwa na washambuliaji watatu mbele.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic