Rais wa
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodeger Tenga ameomba kuzungumza na
waandishi wa habari leo saa 8 mchana.
Tenga
ambaye siku chache zilizopita alizungumza kuhusiana na suala la uchaguzi na
kuwataka walioonewa kufuata utaratibu, haijajulikana leo atazungumza nini.
Msemaji
wa TFF, Boniface Wambura amethibitisha kwamba Tenga atazungumza na waandishi wa
habari lakini hakuweka wazi ni jambo lipi.
0 COMMENTS:
Post a Comment