December 17, 2013



Azam FC ya Tanzania ambayo ilishika nafasi ya pili msimu uliopita itaanza michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kucheza na Ferroviário da Beira ya Msumbiji.
 
Kama itafanikiwa kuvuka dhidi ya Wamakonde hao wa Msumbiji, basi Azam FC inayonolewa na kocha kutoka Cameroon itakutana na Zesco ya Zambia.

Kwa upande wa Zanzibar, wawakilishi wa kisiwa hicho katika michuano ya Shirikisho ni Chuoni na wamepangwa kuanzia ugenini dhidi ya How Mine ya Zimbabwe.


Kombe la Shirikisho
Azam        Vs     Ferroviário da Beira
Februari 7-9, marudio Februari 14-16

How Mine  Vs Chuoni
Februari 7-9, marudio Februari 14-16

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic