January 25, 2014



Mbeya City imeendeleza ubabe baada ya kuichapa Kagera Sugar kwa bao 1-0 ikiwa kwao mjini Bukoba.


Katika mechi hiyo ya kwanza ya Ligi Kuu Bara, Mbeya City ikiwa ugenini imeonyesha mchezo wa upinani mkubwa na kuwapa wakati mgumu wenyeji.

Timu hiyo inayonolewa na Juma Mwambusi ilikuwa tishio katika mzunguko wa kwanza, hali iliyofanya wadau wengi wa soka kusubiri mzunguko wa pili kama itaendeleza ubabe.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic