January 25, 2014



Azam imeanza Ligi Kuu Bara kwa mwendo wa ‘kusanya pointi tatu’ baada ya kuichapa Mtibwa Sugar kwa bao 1-0.


Katika mechi iliyopigwa leo kwenye Uwanja wa Chamazi, jijini Dar, bao pekee la wenyeji lilifungwa na Kipre Herman Tchetche.
Mechi hiyo ilikuwa ngumu, kali na ya kuvutia na kila timu ilionyesha kupania kupata ushindi.

Hata hivyo, Azam FC watajilaumu kwa kupoteza nafasi kadhaa ambazo zingeweza kuwapatia mabao zaidi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic