February 4, 2014

MANJI AKIWA NA MAKAMU WAKE, CLEMENT SANGA



Kampuni ya Quality Group Limited imetoa Sh milioni 10 kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kuunga mkono mikakati ya shirikisho la katika kuendeleza mpira wa miguu nchini.


Mchango huo wa Quality Group utatumika katika programu mbalimbali za kuendeleza mpira wa miguu nchini ambapo tunaishukuru kampuni hiyo kwa kuunga mkono mikakati yetu.

Quality Group ni kampuni inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ambaye amekuwa mwanamichezo anayechangia katika michezo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic