April 26, 2014


Mario Balotelli haishi vituko, kwani jana usiku alisimama ghafla na kuanza kumlaumu kocha wake, Clarence Seedorf kwa kumtoa.

Katika mechi hiyo, AC Milan ikiwa ugenini iliendelea kupoteza mechi za Serie A baada ya kufungwa na wenyeji wake AS Roma huku Miralem Pjanic na mchezaji wa zamani wa Arsenal, Gervinho wakitupia bao mojamoja na kutengeneza ushindi wa mabao 2-0.


kitendo cha kutolewa nje katika kipindi cha pili kilimuudhi Balotelli ambaye alianza kumlaumu Seedorf ambaye alionekana kuwa mtulivu akimuangalia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic