September 28, 2014


Difenda, Mamadou Sakho amewaomba radhi mashabiki wa Liverpool kutokana na kitendo chake cha kuondoka Anfield dakika chache kabla ya mechi dhidi ya Everton.

Sakho aliondoka baada ya kocha wake Brendan Rodgers' kuamua kumtumia Martin Skrtel badala yake.
Kutokana na hali hiyo, difenda huyo mwenye umri wa miaka 24, aliamua kuondoka zake kwa hasira.
Kutokana na hali, baadaye alitumia mtandao wa kijamii na kusema anaamini haukuwa uamuzi sahihi.
“Nilijisikia vibaya na kuona haukuwa uamuzi sahihi mimi kuondoka wakati ule.
“Naomba mniwie radhi kwa kitendo hicho ambacho hakikuwa cha kiungwana,” aliandika.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic