October 6, 2014



Barcelona football club ndiyo kikosi pekee barani Ulaya ambacho hakijafungwa hata bao moja katika ligi.

Juve nayo ilikuwa iko kwenye rekodi hiyo, lakini bao lililofungwa na nahodha wa AS Roma, Francesco Totti liliwaondoa kabisa kwenye listi hiyo.
Sasa Barcelona inabaki kuwa timu pekee ya Ulaya ambayo haijafungwa hata bao moja kwenye ligi.
Ikiwa na kipa Abel Resino katika goli, Barcelona imecheza jumla ya dakika 1,275 na kufunga mabao 26 lakini haijafungwa hata bao moja.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic